Coca-Cola

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.

Coca-Cola, au Coke, ni kinywaji kisicho na kilevi kinachotengenezwa na kampuni ya Coca-Cola. Mnamo mwaka 2013, bidhaa za Coke ziliuzwa kwenye zaidi ya nchi 200 duniani kote, na zilikua na watumiaji zaidi ya bilioni 1.8. Coca-Cola ilikua nafasi 87 katika orodha iliyotolewa na gazeti la fortune 500 ya makampuni yenye kipato kikubwa zaidi nchini Marekani.[1]

Kulingana na utafiti wa Interbrand (2020) wa brand bora ya kimataifa, Coca-Cola ilikuwa brand ya sita yenye thamani zaidi duniani.[2]

Jina la kinywaji "Coca cola" limetokana na mchanganyiko wake wa majani ya "Coca" na karanga za "kola" (chanzo cha kafeini)[3]

Marejeo

  1. "Fortune 500 Companies 2018: Who Made the List". Fortune (kwa en-US). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo November 10, 2018. Iliwekwa mnamo November 10, 2018.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  2. "2020 Best Global Brands - Interbrand". Interbrand. Iliwekwa mnamo July 7, 2021.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. Greenwood, Veronique (2016-09-23). "The little-known nut that gave Coca-Cola its name". www.bbc.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2023-01-21.